All posts by 양철준 HK연구교수

탄자니아의 불법 체류 외국인들

19Sep/13

한국외국어대학교 아프리카연구소 HK연구교수 양철준


   탄자니아 정부는 불법 이민자들에 대한 대대적인 단속에 나셨다. ‘태풍(Kimbunga)’이라고 명명된 이번 작전에서 12,704명의 불법 이민자들이 체포되었다고 경찰은 밝혔다. 정부에서 발행하는 신분증을 소지하고 있지 않은 사람들이 주로 체포 대상이었다.

   정부에서 발급하는 신분증을 소재하고 있지 않은 불법 이주자들을 식별하는 것은 쉽지 않다. 게다가 문제는 불법 이주자들을 강제 출국시켜도 허술한 국경을 월경하여 다시 밀입국한다는 점이다.

   불법 체류 외국인들에 대한 단속은 9월 6일부터 시작되었다. 체포된 12,704명의 외국인들 중에서 3,448명은 르완다인, 6,125명은 부룬디인, 2,496명은 우간다인, 589명은 콩고민주공화국인, 44명은 소말리아인으로 밝혀졌다. 체포된 이들 중 1,852명은 훈방되었고 2,286명은 그들의 거류 자격을 확인하기 위해 심문을 받고 있는 중이다.

   경찰 관계자는 불법 체류 외국인들에 대한 체포와 더불어 222명의 무장 강도들과 23명의 밀렵꾼들을 체포하는 성과를 올렸다고 발표했다. 경찰은 또한 수류탄 10개, 5개의 반자동총을 포함한 61개의 총기류와 665발의 탄환을 압수했다.

   이번 작전은 게이타, 카게라, 키고마 3개 지역에 있는 불법 이민자들은 소탕하기 위한 목적인데 이들이 자발적으로 떠나라고 2주간의 데드라인을 준 후에 작전을 실시했다.


출처: THE GUARDIAN (http://www.ippmedia.com/frontend/index.php?l=59585)


제1단계 3차년도 현지조사(양철준)

05Aug/13
양철준1-3(Ukerewe)

양철준 HK연구교수는 1단계 2차년도 연구의 연장선상에서 2013년 7월 10일부터 8월 1일까지 탄자니아의 우케레웨에서 현지조사를 실시했다. ‘케레웨인들의 언어 유지와 교체: 종족어의 활력에 영향을 미치는 요소들(Language maintenance and shift among the Kerewe: Factors contributing to ethnolinguistic vitality)’을 주제로 삼아, 아래와 같이 표준화된 설문지를 사용하여 우케레웨 섬에 소재하고 있는 초중등학교에 재학 중인 학생들을 대상으로 설문조사를 행했다. 연구 결과는『아프리카 사회의 지형, 그 경계 넘나들기』(2014년, 다해, 15-76)라는 제목의 공저에 수록되었다.

Questionnaire

  1. Umri:

Jinsia:

Darasa/kidato:

Mahali ulipozaliwa(Mkoa)………………..(Wilaya)…………………(Kata)………………….

Mahali ulipokaa(Mkoa)………………..(Wilaya)…………………(Kata)……………………..

Dini:

  1. Lugha ya baba:

Lugha ya mama:

  1. Kabila lako (Kiutamaduni na kijamii unajitambulisha kama mtu wa kabila gani?)
  2. Ujuzi wa lugha (lugha unazoweza kutumia)
Lugha Kusikiliza Kuzungumza Kusoma Kuandika
Kikerewe/Ekikerebe
Kiswahili/Ekiswahili
Kiingereza
Kijita/Echijita
Nyinginezo (taja 1)

Kigezo: 1: Vizuri (kwa ufasaha)

2: Wastani

3: Kidogo

  1. Lugha gani hupendelewa kutumiwa katika mazungumzo ya kimsingi katika hali zifuatazo za mazungumzo.
  2. i) Unapozungumza na wazazi wako nyumbani mnaongeleshana kwa lugha g gani?
  3. ii) Unapozungumza na babu na bibi yako

– Wanakuongelesha kwa lugha gani?

– Unawaongelesha kwa lugha gani?

iii) Unapozungumza na marafiki zako nje ya darasa/shule

  1. iv) Unaposalimiana na mwanakijiji mwenzako
  2. v) Unapokutana na mgeni katika kijiji chako
  3. vi) Mkutano wa hadhara unapofanyika katika kijiji (kikao cha kijiji)

vii) Uingiapo kwenye ofisi za kiserikali, hospitali, zahanati au mahakama

viii) Ununuapo vitu dukani/sokoni

  1. ix) Kunapokuwa na mkutano wa jamaa kwa kujadiliana kuhusu harusi/ndoa au msiba
  2. Kwa maoni yako Kikerewe cha mahali gani (mjini au kijijini) kingechukuliwa

kuwa Kikerewe safi na sanifu (Taja jina la mahali hapo)

  1. Unajivunia lugha yako ya mama, yaani Kikerewe?
  2. Inawezekana kubaki Mkerewe bila kuongea Kikerewe?
  3. Ni lazima uongee Kikerewe ili kutambuliwawa kuwa Mkerewe?
  4. Kikerewe kinastahili kufundishwa katika mazingira rasmi kama vile mfumo wa elimu?
  5. Unataka Kikerewe kirithishwe kwa Wakerewe wa kizazi cha sasa na wa kijacho?
  6. Nini ifanyike kudumisha uhai na matumizi ya Kikerewe?
  7. Unataka serikali itimize (ifanye) nini kwa kustawisha Kikerewe na kwa kuhamasisha Wakerewe kuendeleza lugha yao ya mama?
  8. Kwa nini unapenda kutumia Kikerewe (lugha mama) kama lugha ya mawasiliano wakati Kiswahili kipo?
  9. Unapotumia lugha ya Kiswahili katika jamii uliyopo (inayokuzunguka) unaelewekaje?
  10. Je, baada ya kuingiza Kiswahili kiwe lugha ya kufundishia kwa elimu ya msingi kitakuwa kimeathiri mila na tamaduni za kikabila?
  11. Lugha ya Kiswahili inatumika zaidi katika maeneo/mazingira yapi zaidi katika jamii uliyopo?
  12. Je, lugha ya Kiswahili inatumika zaidi katika watu wa rika lipi?
  13. Kwa nini lugha ya Kiswahili inakua zaidi katika rika hilo?
  14. Lugha ya Kiswahili inapoendelea kukua katika rika la vijana inakuwa inasababisha kupotea kwa lugha mama?
  15. Mara kwa mara unakuta maneno magumu (yanayokutatanisha) ya Kiswahili au Kiingereza ambayo yangekuwa rahisi zaidi iwapo yanaelezwa kwa Kikerewe?
  16. Unapokutana na Mjita, lugha ipi kati ya Kikerewe na Kijita inapendelewa? Eleza sababu zake.
  17. Unapobadilisha chaguo la lugha kutoka lugha moja hadi nyingine ubadilishaji huo unasababishwa:
  18. i) Kwa lengo gani?
  19. ii) Katika hali gani?
  20. Lugha gani zipewe kipaumbele (umuhimu) kwa siku za usoni katika maisha yako?

제1단계 3차년도 현지조사(양철준)-KRW-사진자료5

22Jul/13

제1단계 3차년도 현지조사(양철준)-KRW-사진자료4

20Jul/13

제1단계 3차년도 현지조사(양철준)-KRW-사진자료2

16Jul/13